Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemd Suleiman Abdulla, ameishukuru taasisi ya hayrat Foundation kutokana Nchini uturuki kwa jitihada zao za kusaidia huduma mbali mbali za maendeleo kwa wananchi wa Zanzibar. Mhe. Hemd alitoa pongezi hizo katika hafla ya ugawaji wa misahafu kwa ajili ya wananfunzi wa madrasa kwa jimbo la chaani Mkoa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed